jamni msimshambulie kwani kauliza na kama hakuna jibu lets stay quite
mwaya mpendwa mimi sijawahi sikia madhara ila uchovu nadhani unaweza kuwa mkubwa na kama utakuwa
employee som where perfomamce ya kazi itashuka na usingizi mwingi mda wa mchana kitu ambacho si kizuri
kwa ushauri fanya mara nne kwa wiki mostly during weekend