Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh! Umeniacha ktk mataa hapo. Ngoja wataalam wengine waongee. Ila, iwapo mtu anachepuka, kwa nini msitumie kinga?Kawaida ya mtoto zile shahawa za baba yake huwa zinampa nguvu katika makuzi yake ya kila siku akiwa anakua.
Kwa sperm ni wale wale ambao wameshazoea mwili uleule.
Ikitokea mama akatoa huduma za dharura kwa mwengine hapo sperm za huyo mtu mwengine hugonganza na zile za kawaida zilizozoea mwilini mwa mama hapo huanza vita vya sperm A na sperm B wapya.
Hivi hupelekea mwili wa mama wa mtoto kuzalisha maziwa yenye sperm A&B kwenda kwa mtoto mtoto akinyonya maziwa yenye sperm wa aina 2 mwili wake hulainikaaa sana kuwa legeleg sanaa kwa lugha za pwani wanasema anabemendwa.
Duh! Umeniacha ktk mataa hapo. Ngoja wataalam wengine waongee. Ila, iwapo mtu anachepuka, kwa nini msitumie kinga?
Duniani kuna mambo. Mimi sioni uhusiano kati ya sperms na afya ya mtoto.Sperms zilizoshindwa kurutubisha yai hutolewa nje kama uchafu,tangu zikatoka kwenye mwili wa mama kwenda kwa mtoto Mimi naona hizo ni imani tu.
Kawaida ya mtoto zile shahawa za baba yake huwa zinampa nguvu katika makuzi yake ya kila siku akiwa anakua.
Kwa sperm ni wale wale ambao wameshazoea mwili uleule.
Ikitokea mama akatoa huduma za dharura kwa mwengine hapo sperm za huyo mtu mwengine hugonganza na zile za kawaida zilizozoea mwilini mwa mama hapo huanza vita vya sperm A na sperm B wapya.
Hivi hupelekea mwili wa mama wa mtoto kuzalisha maziwa yenye sperm A&B kwenda kwa mtoto mtoto akinyonya maziwa yenye sperm wa aina 2 mwili wake hulainikaaa sana kuwa legeleg sanaa kwa lugha za pwani wanasema anabemendwa.
Duniani kuna mambo. Mimi sioni uhusiano kati ya sperms na afya ya mtoto.Sperms zilizoshindwa kurutubisha yai hutolewa nje kama uchafu,tangu zikatoka kwenye mwili wa mama kwenda kwa mtoto Mimi naona hizo ni imani tu.