Labda madhara ya afya ya mwili,
manake ubongo unaacha kuimarika ile miezi sita mpaka mwaka mmoja baada ya kuzaliwa, kinachofuata hapo ni ubongo kuongezeka ukubwa tu.
Sasa kama wazazi hawakukulisha vyakula vyanjano njano kama maboga, carrot n.k, hesabia maumivu...