Kuna madhara yoyote ya kunyonya papuchi?

manSniper

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2015
Posts
814
Reaction score
680
Naombeni kama kuna madhara yoyote ya kunyonya papuchi maana nahisi nimekuwa mgonjwa wa kupenda hii kitu na matiti nisipo nyonya huwa sijisikii kama nimefanya mapenzi naona imeshaniathiri mpaka sasa.

Nimekuja kupenda kunyonya 0713 huwa ninasikia raha sana kelele anazopiga my wangu nimfanyiapo hizo mambo, kwani huniambia anajisikia raha asana.

Ikanifanya nizidishe kila tundu nilifanyie huduma ya kunyonya masikioni ndiyo usiseme, je kuna madhara yoyote nitakayopata?

Ushauri please, matusi sitaki kama huna ushauri pita kimya kimya.
 
" anajisikia raha kama yupo mbinguni..?!
Tuna tatizo la kuhusiana kila kitu na masuala ya kidini.
 
Inategemea unanyonya wapi maana papuchi nayo ni "kubwa" ati!πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…