kuna madhara yoyote ya kupiga x ray

vick28

Senior Member
Joined
Jul 26, 2013
Posts
105
Reaction score
11
Habari zenu jf member. Naomba kujua kama kuna
madhara ya x ray . Thanx
 
Inategemea na dozi,muda utakao kuwa exposed na umbali...but kwa ile inayotumika ktk tiba imeshafanyiwa utafiti na kuruhusiwa kutumika naamisha haina madhara makubwa sana...na hairuhusiwi kupigwa mara kwa mara unless necessary.

Xray inatabia ya kubadilisha cell na hivyo kusababisha madhara ya jiafya kama vile cancer na birth defect.
 
Hakuna kisiccho na madhara, ile ni mionzi so lazima itakuwa na madhara.Kwa taarifa zaidi tembelea google
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…