Kuna mahala popote hapa Tanzania panapolimwa Sugar Beets?

Kuna mahala popote hapa Tanzania panapolimwa Sugar Beets?

SankaraBoukaka

JF-Expert Member
Joined
Jul 2, 2019
Posts
1,213
Reaction score
1,918
Kama inavyojieleza hapo juu ningependa kufahamu kama Sugar Beets ambayo ni mbadala wa Sugar Cane (MIWA) kwenye kutengeneza sukari ya majumbani inalimwa wapi hapa Tanzania.
 
... sina hakika kama climate ya Tanzania ni favourable kwa hiyo kitu maana inastawi zaidi maeneo ya baridi outside the tropics. Anyway, tusubirie labda waungwana watatoa majibu.
 



Mkuu cheki hii video youtube umuone mtafiti akitoa maelezo. Inaweza kuoteshwa na ikazalisha sukari
 



Mkuu cheki hii video youtube umuone mtafiti akitoa maelezo. Inaweza kuoteshwa na ikazalisha sukari

... asante kwa hii video Kiongozi. Nimeisikiliza, wanasema sugar beets inastawi in "temperate zones" ambayo mengi yako nje ya tropics (ramani: https://www.researchgate.net/figure...Koeppen-climate-classification_fig1_333828390). Kwa Tanzania, kama ilivyo kwa Kenya, ni maeneo machache sana ambako hilo zao linaweza kustawi hasa sehemu zenye unyevu na ubaridi kipindi kirefu cha mwaka.
 
Mkuu wewe
... asante kwa hii video Kiongozi. Nimeisikiliza, wanasema sugar beets inastawi in "temperate zones" ambayo mengi yako nje ya tropics (ramani: https://www.researchgate.net/figure...Koeppen-climate-classification_fig1_333828390). Kwa Tanzania, kama ilivyo kwa Kenya, ni maeneo machache sana ambako hilo zao linaweza kustawi hasa sehemu zenye unyevu na ubaridi kipindi kirefu cha mwaka.
Unataka kuilima wapi? Itahitaji utafiti kidogo na kushirikisha wataalamu. Naamini tanzania kuna maeneo mazuri ya kuilima zaidi ya kenya
 
Kama ni project kubwa zaidi inaweza kuwekewa controlled environment. Na bado ikafanikiwa
 
Pia kuna mahali alikuwa anaongelea kuhusu variety ambayo tayari wameitengeneza kulingana na mazingiza ya kwetu.
 
Kuna baadhi ya maeneo ya Iringa almost anything inakubali including apples kama zile za south africa, mahindi na strawberries ni throughout the year.
 
Back
Top Bottom