sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
Inabidi sasa tukubaliane na uhalisia, kwa sababu ndio ukweli uliopo sasa hivi ya kwamba tunaishi katika kizazi ambacho watu wana maisha ya aina 2.
Kuna maisha halisi ya mtaani na maisha ya mtandaoni.
- Unaweza kuwa mtu wa kawaida sana mtaani ila huku mitandaoni unaheshimika
- Unaweza kuwa huna marafiki wengi mtaani, ila huku mitandaoni una followers 100k
- Unaweza ukawa umesota sana huku kitaa, ila mitandaoni unatusua
Ubaya ni kwamba maisha ya mtandaoni hayalipi bills. Unaweza kuwa influential huku mtandaoni, ila mwisho wa mwezi landlord anataka hela yake, hajui maswala ya kuwa ww unaheshimika ukiwa online.
Asubuhi/jioni vituo vya dalala watu wamejaa kinoma wanagombania usafiri, watu wanapigana vipepsi, ila ukija mitandaoni kila mtu ana gari. Vijana wengi wanasurvive kwa sababu wazazi wao ama ndugu bado wanafanya kazi, hiyo ndo pona pona. Wapo watu wanakula na kulala kwao, akiotea laki 1 kwa mwezi ndio hiyo siku atapiga fujo vby mno mitandaoni
Point yangu ni - tumia mitandao kwa machale sana. Kila mtu anapitia kipindi kigumu, kila mtu ana shida zake, kila mtu anasota kwa namna yake... ground spana zinatembea kwa kila mtu, usidhani ni ww tu ndo huna bahati, huku mtaani watu tunashikishwa ukuta na life tunakuja mitandaoni kujipooza. Usiyumbishwe na kelele za mitandaoni. Ignore the noise, follow the signal.
BE YOU,
DO YOU,
FOR YOU
Source : Sir J instagram
Kuna maisha halisi ya mtaani na maisha ya mtandaoni.
- Unaweza kuwa mtu wa kawaida sana mtaani ila huku mitandaoni unaheshimika
- Unaweza kuwa huna marafiki wengi mtaani, ila huku mitandaoni una followers 100k
- Unaweza ukawa umesota sana huku kitaa, ila mitandaoni unatusua
Ubaya ni kwamba maisha ya mtandaoni hayalipi bills. Unaweza kuwa influential huku mtandaoni, ila mwisho wa mwezi landlord anataka hela yake, hajui maswala ya kuwa ww unaheshimika ukiwa online.
Asubuhi/jioni vituo vya dalala watu wamejaa kinoma wanagombania usafiri, watu wanapigana vipepsi, ila ukija mitandaoni kila mtu ana gari. Vijana wengi wanasurvive kwa sababu wazazi wao ama ndugu bado wanafanya kazi, hiyo ndo pona pona. Wapo watu wanakula na kulala kwao, akiotea laki 1 kwa mwezi ndio hiyo siku atapiga fujo vby mno mitandaoni
Point yangu ni - tumia mitandao kwa machale sana. Kila mtu anapitia kipindi kigumu, kila mtu ana shida zake, kila mtu anasota kwa namna yake... ground spana zinatembea kwa kila mtu, usidhani ni ww tu ndo huna bahati, huku mtaani watu tunashikishwa ukuta na life tunakuja mitandaoni kujipooza. Usiyumbishwe na kelele za mitandaoni. Ignore the noise, follow the signal.
BE YOU,
DO YOU,
FOR YOU
Source : Sir J instagram