MLABATA
Member
- Mar 30, 2015
- 49
- 23
Naomba wana JF mnisaidie. Kwa maana ninavyoelewa kutoa/kuangalia salio kwa ATM ukiomba risiti unakatwa Tsh kadhaa, Lakini ukingalia bila kuomba risiti haukatwi. Ila juzi nimeangalia salio nikazunguka mjini, nikarudi kuangalia tena salio bila kuomba risiti. Ile nitoe hela ili nikatumie nikakuta wamekata buku. Bajeti ilivurugika kinoma asee!