Kuna mambo matatu ya kujifunza kutokana na matukio ya udhalilishaji kingono kwenye jamii yetu

Kuna mambo matatu ya kujifunza kutokana na matukio ya udhalilishaji kingono kwenye jamii yetu

zandrano

JF-Expert Member
Joined
Jan 24, 2017
Posts
7,893
Reaction score
8,816
Matukio ya udhalilishaji kingono katika jamii yetu yanasababishwa na mambo yafuatayo:

Wazazi/walezi tumeshindwa kutimiza wajibu wetu wa kuwalea watoto kwenye maadili mema. Wasichana na vijana wamebobea kwenye ngono kuliko kufanya kazi halali.

Kuna kipindi Mkuu wa wilaya ya Ubungo alijaribu kupambana na biashara ya ukahaba kwenye eneo lake lakini alipigwa vita kali na huku akizodolewa, hii ni dalili kuwa jamii yetu yote imeoza, nashangaa watu kushangaa hiyo clip ya ngono ya watu 5 kwa mwanamke 1. Hayo ndio matokeo ya jamii iliyooza.

Kama kweli mnataka tupambane kutokomeza ukatili na udhalilishaji wa wanawake kingono, basi tuwajibike kwa pamoja kukemea matendo ya biashara ya ukahaba kwenye maeneo yetu.
 
Matukio ya udhalilishaji kingono katika jamii yetu yanasababishwa na mambo yafuatayo:…

1. Wazazi/walezi tumeshindwa kutimiza wajibu wetu wa kuwalea watoto kwenye maadili mema. wasichana na vijana wamebobea kwenye ngono kuliko kufanya kazi halali.
kuna kipindi Mkuu wa wilaya ya Ubungo alijaribu kupambana na biashara ya ukahaba kwenye eneo lake lakini alipigwa vita kali na huku akizodolewa, hii ni dalili kuwa jamii yetu yote imeoza, nashangaa watu kushangaa hiyo clip ya ngono ya watu 5 kwa mwanamke 1!!! hayo ndio matokeo ya jamii iliyo oza.

Kama kweli mnataka tupambane kutokomeza ukatili na udhalilishaji wa wanawake kingono, basi tuwajibike kwa pamoja kukemea matendo ya biashara ya ukahaba kwenye maeneo yetu.
Haya mambo yapo enzi na enzi
Mwanzo 34:1Siku moja, Dina, binti yake Yakobo na Lea, alikwenda kuwatembelea wanawake wa nchi hiyo. 2Basi, Shekemu, mwana wa Hamori, Mhivi, aliyekuwa mkuu wa nchi hiyo, alipomwona Dina, akamshika, akalala naye kwa nguvu. 3Lakini Shekemu akavutiwa sana na huyo msichana, akampenda hata akaanza kumbembeleza. 4Kwa hiyo, Shekemu akazungumza na Hamori baba yake, akamwambia, “Tafadhali, niombee huyo msichana nimwoe.”
 
Haya mambo yapo enzi na enzi
Mwanzo 34:1Siku moja, Dina, binti yake Yakobo na Lea, alikwenda kuwatembelea wanawake wa nchi hiyo. 2Basi, Shekemu, mwana wa Hamori, Mhivi, aliyekuwa mkuu wa nchi hiyo, alipomwona Dina, akamshika, akalala naye kwa nguvu. 3Lakini Shekemu akavutiwa sana na huyo msichana, akampenda hata akaanza kumbembeleza. 4Kwa hiyo, Shekemu akazungumza na Hamori baba yake, akamwambia, “Tafadhali, niombee huyo msichana nimwoe.”
So ni sawa?
 
Unajua mtoa mada point yako haieleweki unashadadia mtu kubakwa au unakemea em tuanze hapo
 
Back
Top Bottom