Kuna mambo ni uhuni tu serikalini. Je, huku si ndio kujidhalilisha?

Annie X6

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2023
Posts
704
Reaction score
1,331
Fikiria ishu imetumwa muda mrefu hadi leo hainapokelewa.


Labda kuna wanaohudumiwa na hìi mifumo watuambie.

Kwa mtundo huu serikali inajidhalilisha kuweka vitu visivyotekelezeka.

Hii imetuwa lkn not attended
 

Attachments

  • Screenshot_20240416_155608_Chrome.jpg
    15.7 KB · Views: 3
Fikiria ishu imetumwa muda mrefu hadi leo hainapokelewaView attachment 2965415

Labda kuna wanaohudumiwa na hìi mifumo watuambie.

Kwa mtundo huu serikali inajidhalilisha kuweka vitu visivyotekelezeka.

Hii imetuwa lkn not attended
Nani anapaswa kuattend baada ya wewe ni kutuma?
 
Fikiria ishu imetumwa muda mrefu hadi leo hainapokelewaView attachment 2965415

Labda kuna wanaohudumiwa na hìi mifumo watuambie.

Kwa mtundo huu serikali inajidhalilisha kuweka vitu visivyotekelezeka.

Hii imetuwa lkn not attended
Ulituma nini mwali?

Ulituma lini?

Na ulituma kwa bus gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…