Kuna masheikh wengine wananongwa sana eti sheikh wetu amenitoa kwenye group la whatsapp la kugawa nyama siku ya Eid

Kuna masheikh wengine wananongwa sana eti sheikh wetu amenitoa kwenye group la whatsapp la kugawa nyama siku ya Eid

covid 19

JF-Expert Member
Joined
May 9, 2014
Posts
6,967
Reaction score
17,452

Sasa najiuliza kosa langu ni nini yani group nipo na ni mchangiaji mzuri tu wa mada mbalimbali ila aliona sijui namzidi umaarufu leo nimefika sehemu yenye wi-fi nataka kuuliza kama nyama imeshaanza kuja msikitini nakutana na sms ya admin removed you sasa kwanini asingenitoa toka muda yaani alishindwa kabisa kuvumilia hadi kesho tumalize zoezi la kugawa hizo nyama ndio aniremove kweli hii ni haki wajameni. Nimesikitika sana....
 
OGOPA NYAMA ZA KAFARA NA MATAMBIKO YA KIARABU. UKIONA MTU YOYOTE ANA IMANI ZA KUMWAGA DAMU ZA VIUMBE WA MUNGU UJUE KUWA IBADA HIYO HAIMUHUSISHI MUNGU. NI RAHISI KUJUA KUWA ANAYEABUDIWA NI NANI MAAMA WAGANGA WA KIENYEJI WANAOTUMIA MASHETANI ILI KUFANYA JAMBO LAO LAZIMA WAWAHONGE MASHETANI DAMU ZA KUKU, AU MBUZI
 
Pole sana
 

Attachments

  • 3765680752f2405c8daf19bae207eb54.jpg
    3765680752f2405c8daf19bae207eb54.jpg
    39.1 KB · Views: 1
OGOPA NYAMA ZA KAFARA NA MATAMBIKO YA KIARABU. UKIONA MTU YOYOTE ANA IMANI ZA KUMWAGA DAMU ZA VIUMBE WA MUNGU UJUE KUWA IBADA HIYO HAIMUHUSISHI MUNGU. NI RAHISI KUJUA KUWA ANAYEABUDIWA NI NANI MAAMA WAGANGA WA KIENYEJI WANAOTUMIA MASHETANI ILI KUFANYA JAMBO LAO LAZIMA WAWAHONGE MASHETANI DAMU ZA KUKU, AU

OGOPA NYAMA ZA KAFARA NA MATAMBIKO YA KIARABU. UKIONA MTU YOYOTE ANA IMANI ZA KUMWAGA DAMU ZA VIUMBE WA MUNGU UJUE KUWA IBADA HIYO HAIMUHUSISHI MUNGU. NI RAHISI KUJUA KUWA ANAYEABUDIWA NI NANI MAAMA WAGANGA WA KIENYEJI WANAOTUMIA MASHETANI ILI KUFANYA JAMBO LAO LAZIMA WAWAHONGE MASHETANI DAMU ZA KUKU, AU MBUZI
Manabii karibu wote..... Ibrahim, Isaka, Yakobo, Eliya, Mussa n.k wote walifanya ibada ya kuchinja.... Israel mpaka leo hii wanafanya ibada hiyo!!!!

Unauliza sisi waislam Mungu wetu ni yupi..... Jibu ni dogo tu, huyo Mungu aliopokea swadaka ya kuchinja kutoka kwa Manabii zamani huyohuyo ndio Mungu wetu sisi🤝

Kwahyo acha chuki zako za kijinga🚶🚶

We unadhani kati yako wewe na Waisrael nani mwenye root nzuri ya misingi ya Mungu na sharia,,,,,,, wewe uloletewa dini na padri John??😎

Mungu mwenyewe kwenye taurat kaagiza achinjiwe swadaka ya kuteketezwa,,,,
Endelea kukanusha ibada za Mwenyezi Mungu 🚶🚶
 
Hizi nyama ni ibada za kishetani na wengi tumezisusa kuzila. Tunaona ni kafara kutupumbaza watanzania tuwe wajinga ili rasimali zetu zitwaliwe kiulaini na mataifa ya nje. Naona wazungu waarabu wa uturuki taifa lililoko kati ya asia na ulaya ndio wanaonunua mifugo kwa wingi na wanasimamia na kurekodi matukio yote ya uchinjaji, wanapiga picha na kutuma taarifa kwao.

Wamewafanya waislam wenzao wa tanzania kama wasio na uwezo na hawana akili mpaka inatia aibu. Nani karuhusu fedheha hii ifanyike nchini mwetu kwa kutumia dini? Sadka gani hii kama si kafara la kupumbaza watanzania wawe na akili mbovu kusaini mikataba dhalili juu ya rasimali za nchi? Kwani watanzania hawana uwezo wa kununua mifugo na kuichinja wenyewe bila wageni hao toka nje?
 
Kesho bucha za uswahilini zitajaa nyama sana

Ova
Kwa udhamini wa nyama za misaada wanazopewa masheikh😂😂😂😂.

Pia michepuko ya masheikh kesho ni ma don wa nyama.
 
Njoo huku kwa makafiri tukuunge grupu la kitimoto
 
Cha ajabu waturuki wamevaa vizibao vyenye bendera ya nchi yao wakati sijaona mtanzania aliyeshirikishwa kuchinja mifugo hiyo kavaa kizibao chenye bendera ya taifa la tanzania. Hivi hawa waturuki wanatuonaje sisi watanzania?
 
Manabii karibu wote..... Ibrahim, Isaka, Yakobo, Eliya, Mussa n.k wote walifanya ibada ya kuchinja.... Israel mpaka leo hii wanafanya ibada hiyo!!!!

Unauliza sisi waislam Mungu wetu ni yupi..... Jibu ni dogo tu, huyo Mungu aliopokea swadaka ya kuchinja kutoka kwa Manabii zamani huyohuyo ndio Mungu wetu sisi🤝

Kwahyo acha chuki zako za kijinga🚶🚶

We unadhani kati yako wewe na Waisrael nani mwenye root nzuri ya misingi ya Mungu na sharia,,,,,,, wewe uloletewa dini na padri John??😎

Mungu mwenyewe kwenye taurat kaagiza achinjiwe swadaka ya kuteketezwa,,,,
Endelea kukanusha ibada za Mwenyezi Mungu 🚶🚶
Zilikuwa Mila za kienyeji za wayahudi kama ilivyo kwa Wachaga wanavyofanya MATAMBIKO ya kuchinja mbuzi. Ndio maana Yesu alivyokuja aliyafuta MATAMBIKO hayo kwenye jamii iliyokuwa inashindwa kutofautisha maagizo ya Mungu na matbiko ya makafara ya kuua wanyama.Ukiona mtu yoyote anatoa makafara ya damu za wanyama UJUE KUWA damu hiyo ni chakula Cha mashetani na majini
 
Ukitaka kujuwa watu wanaiman ndogo njoo ktk maswala ya msosi aisee mtu anabadilika kabisa
 
Zilikuwa Mila za kienyeji za wayahudi kama ilivyo kwa Wachaga wanavyofanya MATAMBIKO ya kuchinja mbuzi. Ndio maana Yesu alivyokuja aliyafuta MATAMBIKO hayo kwenye jamii iliyokuwa inashindwa kutofautisha maagizo ya Mungu na matbiko ya makafara ya kuua wanyama.Ukiona mtu yoyote anatoa makafara ya damu za wanyama UJUE KUWA damu hiyo ni chakula Cha mashetani na majini
Basi sawa we fata mafundisho wa Yesu,
Wayahudi wafate mafundisho wa Mussa
Na waislam wafate mafundisho ya Muhammad..........

(Sisi tunaamini hao wote ni mitume, kwahyo huna haki ya kukanusha mafundisho ya wengine kwa mafikirio na hisia zako binafsi!!!
 
OGOPA NYAMA ZA KAFARA NA MATAMBIKO YA KIARABU. UKIONA MTU YOYOTE ANA IMANI ZA KUMWAGA DAMU ZA VIUMBE WA MUNGU UJUE KUWA IBADA HIYO HAIMUHUSISHI MUNGU. NI RAHISI KUJUA KUWA ANAYEABUDIWA NI NANI MAAMA WAGANGA WA KIENYEJI WANAOTUMIA MASHETANI ILI KUFANYA JAMBO LAO LAZIMA WAWAHONGE MASHETANI DAMU ZA KUKU, AU MBUZI
kuna sheikh mmoja mganga wa kienyeji alihitaji huduma zangu ili aboreshe shughuli za uganga wake kwa wateja wake, kabla ya kumfanyia kazi yake aliona nikimaliza kazi yake anipe ofa ya kuchinja njiwa. Niliona hiyo itakuwa kafara, na mimi na mambo ya kafara nayaona ni ibada ya kishetani nikampotezea sikwenda kumfanyia kazi yake japo aliniambia atanipa hela yoyote nitakayoitaja
 
Manabii karibu wote..... Ibrahim, Isaka, Yakobo, Eliya, Mussa n.k wote walifanya ibada ya kuchinja.... Israel mpaka leo hii wanafanya ibada hiyo!!!!

Unauliza sisi waislam Mungu wetu ni yupi..... Jibu ni dogo tu, huyo Mungu aliopokea swadaka ya kuchinja kutoka kwa Manabii zamani huyohuyo ndio Mungu wetu sisi
 
Back
Top Bottom