OGOPA NYAMA ZA KAFARA NA MATAMBIKO YA KIARABU. UKIONA MTU YOYOTE ANA IMANI ZA KUMWAGA DAMU ZA VIUMBE WA MUNGU UJUE KUWA IBADA HIYO HAIMUHUSISHI MUNGU. NI RAHISI KUJUA KUWA ANAYEABUDIWA NI NANI MAAMA WAGANGA WA KIENYEJI WANAOTUMIA MASHETANI ILI KUFANYA JAMBO LAO LAZIMA WAWAHONGE MASHETANI DAMU ZA KUKU, AU
Manabii karibu wote..... Ibrahim, Isaka, Yakobo, Eliya, Mussa n.k wote walifanya ibada ya kuchinja.... Israel mpaka leo hii wanafanya ibada hiyo!!!!OGOPA NYAMA ZA KAFARA NA MATAMBIKO YA KIARABU. UKIONA MTU YOYOTE ANA IMANI ZA KUMWAGA DAMU ZA VIUMBE WA MUNGU UJUE KUWA IBADA HIYO HAIMUHUSISHI MUNGU. NI RAHISI KUJUA KUWA ANAYEABUDIWA NI NANI MAAMA WAGANGA WA KIENYEJI WANAOTUMIA MASHETANI ILI KUFANYA JAMBO LAO LAZIMA WAWAHONGE MASHETANI DAMU ZA KUKU, AU MBUZI
Kwa udhamini wa nyama za misaada wanazopewa masheikh😂😂😂😂.Kesho bucha za uswahilini zitajaa nyama sana
Ova
Zilikuwa Mila za kienyeji za wayahudi kama ilivyo kwa Wachaga wanavyofanya MATAMBIKO ya kuchinja mbuzi. Ndio maana Yesu alivyokuja aliyafuta MATAMBIKO hayo kwenye jamii iliyokuwa inashindwa kutofautisha maagizo ya Mungu na matbiko ya makafara ya kuua wanyama.Ukiona mtu yoyote anatoa makafara ya damu za wanyama UJUE KUWA damu hiyo ni chakula Cha mashetani na majiniManabii karibu wote..... Ibrahim, Isaka, Yakobo, Eliya, Mussa n.k wote walifanya ibada ya kuchinja.... Israel mpaka leo hii wanafanya ibada hiyo!!!!
Unauliza sisi waislam Mungu wetu ni yupi..... Jibu ni dogo tu, huyo Mungu aliopokea swadaka ya kuchinja kutoka kwa Manabii zamani huyohuyo ndio Mungu wetu sisi🤝
Kwahyo acha chuki zako za kijinga🚶🚶
We unadhani kati yako wewe na Waisrael nani mwenye root nzuri ya misingi ya Mungu na sharia,,,,,,, wewe uloletewa dini na padri John??😎
Mungu mwenyewe kwenye taurat kaagiza achinjiwe swadaka ya kuteketezwa,,,,
Endelea kukanusha ibada za Mwenyezi Mungu 🚶🚶
Basi sawa we fata mafundisho wa Yesu,Zilikuwa Mila za kienyeji za wayahudi kama ilivyo kwa Wachaga wanavyofanya MATAMBIKO ya kuchinja mbuzi. Ndio maana Yesu alivyokuja aliyafuta MATAMBIKO hayo kwenye jamii iliyokuwa inashindwa kutofautisha maagizo ya Mungu na matbiko ya makafara ya kuua wanyama.Ukiona mtu yoyote anatoa makafara ya damu za wanyama UJUE KUWA damu hiyo ni chakula Cha mashetani na majini
kuna sheikh mmoja mganga wa kienyeji alihitaji huduma zangu ili aboreshe shughuli za uganga wake kwa wateja wake, kabla ya kumfanyia kazi yake aliona nikimaliza kazi yake anipe ofa ya kuchinja njiwa. Niliona hiyo itakuwa kafara, na mimi na mambo ya kafara nayaona ni ibada ya kishetani nikampotezea sikwenda kumfanyia kazi yake japo aliniambia atanipa hela yoyote nitakayoitajaOGOPA NYAMA ZA KAFARA NA MATAMBIKO YA KIARABU. UKIONA MTU YOYOTE ANA IMANI ZA KUMWAGA DAMU ZA VIUMBE WA MUNGU UJUE KUWA IBADA HIYO HAIMUHUSISHI MUNGU. NI RAHISI KUJUA KUWA ANAYEABUDIWA NI NANI MAAMA WAGANGA WA KIENYEJI WANAOTUMIA MASHETANI ILI KUFANYA JAMBO LAO LAZIMA WAWAHONGE MASHETANI DAMU ZA KUKU, AU MBUZI
Manabii karibu wote..... Ibrahim, Isaka, Yakobo, Eliya, Mussa n.k wote walifanya ibada ya kuchinja.... Israel mpaka leo hii wanafanya ibada hiyo!!!!
Unauliza sisi waislam Mungu wetu ni yupi..... Jibu ni dogo tu, huyo Mungu aliopokea swadaka ya kuchinja kutoka kwa Manabii zamani huyohuyo ndio Mungu wetu sisi