KERO Kuna Mbu wengi sana katika Hospitali ya Wilaya ya Nachingwea

KERO Kuna Mbu wengi sana katika Hospitali ya Wilaya ya Nachingwea

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

nord27

New Member
Joined
Jan 20, 2024
Posts
1
Reaction score
0
Katika Hospitali ya Wilaya ya Nachingwea Mkoa wa Lindi kuna mbu wengi kuliko kawaida.

Cha kushangaza hata ukiwauliza manesi wanasema wamezoea sasa najiuliza pale ni hospitali unapeleka mgonjwa na kuna mbu vile huyo mgonjwa atapona au ndo atazidi kuumwa?

Pia vipi kuhusu muuguzi wake anayekaa katika mazingira ya wazi? Yaani ni Hospitali ya Wilaya ila ni kana kwamba upo porini.

Soma Lindi: Bwana Afya aongoza usafi katika Hospitali ya Wilaya ya Nachingwea kumaliza kero ya mbu wengi
Nachingwea.png

Nachi.png

Nachii.png

Nachi1.png
 
Hata hili mpaka katibu mwenezi Makonda ndio akalifatilie?
Nadhani utumbuzi wa papo kwa hapo unahitajika
 
Wabongo kukomaa na shida ndio tunaona kawaida na ushupavu. Juzi yule mhudumu anakatiza mto na kifua wazi eti anafikisha chanjo, mawaziri wanamsifu kwa ushujaa badala ya kumuonea huruma na kukemea kuhatarisha maisha.
Ni wapumbavu tu ndio wanaweza kumsifu Samia.
 
Back
Top Bottom