KERO Kuna Mbu wengi sana katika Hospitali ya Wilaya ya Nachingwea

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

nord27

New Member
Joined
Jan 20, 2024
Posts
1
Reaction score
0
Hata hili mpaka katibu mwenezi Makonda ndio akalifatilie?
Nadhani utumbuzi wa papo kwa hapo unahitajika
 
Wabongo kukomaa na shida ndio tunaona kawaida na ushupavu. Juzi yule mhudumu anakatiza mto na kifua wazi eti anafikisha chanjo, mawaziri wanamsifu kwa ushujaa badala ya kumuonea huruma na kukemea kuhatarisha maisha.
Ni wapumbavu tu ndio wanaweza kumsifu Samia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…