Pre GE2025 Kuna Mbunge wa viti maalumu ameweza kuonyesha alistahili kuwepo bungeni?

Pre GE2025 Kuna Mbunge wa viti maalumu ameweza kuonyesha alistahili kuwepo bungeni?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
Kwa namna wabunge wa viti maalumu wanavyojenga hoja na kuongea bungeni kuna ambaye unaweza kusema anashawishi tuwe na wabunge wa viti maalumu?

Kama yupo ni yupi? Pamoja na kumtaja tuambie mchango wake ambao umuona kwa utendaji kazi wake na mabadiliko ya fikra iaiyobeba kuwawakilisha walio wengi.

Endapo tukiamua kuondoa viti maalumu na fedha za kuwalipa zikatumika kujenga vituo vya afya tutakuwa tumefanya makosa? Nini unadhani ni mbadala kudhibiti huu uchochoro unaotumiwa na wanasiasa kuwapeleka bungeni watu wasio na uwezo?
 
Kwa namna wabunge wa viti maalumu wanavyojenga hoja na kuongea bungeni kuna ambaye unaweza kusema anashawishi tuwe na wabunge wa viti maalumu...
Kuna huyu wa leo amemuongezea SSH chanzo cha mapato cha Tsh.50 kwa kila laini ya simu/vocha.Anapendelea mijeledi iongezwe idadi na nguvu ya mnyuko ili watu waipate fresh ya shamba.Kavimbiwa posho na mishahara ya ubunge wa kugawiwa.
 
Inasemekana ili uwe mbuge wa viti maalumu lazima uto......Hii nimeiamini Kwa sababu wabunge wa viti maalumu ni Wana wake tu.
 
Back
Top Bottom