Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 37,630
- 47,434
hili jambo huwa najiuliza sana kama ni kweli binadamu wote ni sawa.
Kiuhalisia usawa haupo kwa kweli.
Mfano mdogo tu kuna members hawapewi Ban kabisa;
Kuna member kama Max Melo mzee mwana Kijiji na wengine, toka nimejiunga JF sijaona wakila ban,
sasa ili usawa uwepo naomba hao na wengine wapewe ban ili wote twende sawa.
Taja na wengine ambao unadhani wanastahili angalau nao wale ban.
Kiuhalisia usawa haupo kwa kweli.
Mfano mdogo tu kuna members hawapewi Ban kabisa;
Kuna member kama Max Melo mzee mwana Kijiji na wengine, toka nimejiunga JF sijaona wakila ban,
sasa ili usawa uwepo naomba hao na wengine wapewe ban ili wote twende sawa.
Taja na wengine ambao unadhani wanastahili angalau nao wale ban.