unapendelea jukwaa gani?Duh sijawahi kuonja ban mpaka leo.
Atakuwa chit chat sasa atapigwaje BAN aende kwenye siasaunapendelea jukwaa gani?
Niko majukwaa mengi ila ambako hua sikosi ni michezoni kule siku hizi ban hazina jukwaa kote kuna watu wanakera.unapendelea jukwaa gani?
Chit chat sijawahi changia zaidi ya miaka 2 sasa,ban zipo sehemu zote ila nina desturi za kukausha nikiona mtu ana mpango wa kunisababishia ban hata siasani nipo sana ingawa nachangia thread zinazonigusa.Atakuwa chit chat sasa atapigwaje BAN aende kwenye siasa
nenda jukwaa la siasaNiko majukwaa mengi ila ambako hua sikosi ni michezoni kule siku hizi ban hazina jukwaa kote kuna watu wanakera.
Chit chat sijawahi changia zaidi ya miaka 2 sasa,ban zipo sehemu zote ila nina desturi za kukausha nikiona mtu ana mpango wa kunisababishia ban hata siasani nipo sana ingawa nachangia thread zinazonigusa.
Ukiwa active kuchangia jukwaa la siasa lazima BAN uipateNiko majukwaa mengi ila ambako hua sikosi ni michezoni kule siku hizi ban hazina jukwaa kote kuna watu wanakera.
Chit chat sijawahi changia zaidi ya miaka 2 sasa,ban zipo sehemu zote ila nina desturi za kukausha nikiona mtu ana mpango wa kunisababishia ban hata siasani nipo sana ingawa nachangia thread zinazonigusa.
Hata mimi sijawahi kupigwa ban kwasababu sijawahi kuwapa mods sababu ya kunipa ban.hili jambo huwa najiuliza sana kama ni kweli binadamu wote ni sawa.
Kiuhalisia usawa haupo kwa kweli.
Mfano mdogo tu kuna members hawapewi Ban kabisa;
Kuna member kama Max Melo mzee mwana Kijiji na wengine, toka nimejiunga JF sijaona wakila ban,
sasa ili usawa uwepo naomba hao na wengine wapewe ban ili wote twende sawa.
Taja na wengine ambao unadhani wanastahili angalau nao wale ban.