Hahahaa. Nishawahi ila mazingira yenyewe naomba kwanza nivae miwani kisha niiandike kwenye ile diary yangu ndipo nikuletee hapo ulipo. [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85]Vipi wewe Hajar ushawahi kuchezea ban? Katika mazingira gani na upole wako huo?
Hahahaa kwani weye hauwezi kukubali kugeuka kulia ukipigwa kushotoπππ?Hahaaa. Ila si kwa kujisifia huko. Hongera zako bana.
Haya basi vaa hiyo miwani uniletee nione mi nasubiria hapahapaHahahaa. Nishawahi ila mazingira yenyewe naomba kwanza nivae miwani kisha niiandike kwenye ile diary yangu ndipo nikuletee hapo ulipo. [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85]
Yategemea na ntu atakayenipiga huko kulia. Kama ni weye Sesten nageuka tu unipige na kushoto. Hahahaaaa. LolHahahaa kwani weye hauwezi kukubali kugeuka kulia ukipigwa kushotoπππ?
Hahaaaaa. Sawaaa.Haya basi vaa hiyo miwani uniletee nione mi nasubiria hapahapa
Mimi sasa bichwa hiloooooππππ, ngoja ntajaribu leo nioneππYategemea na ntu atakayenipiga huko kulia. Kama ni weye Sesten nageuka tu unipige na kushoto. Hahahaaaa. Lol
Nitukane uoneDuh sijawahi kuonja ban mpaka leo.
Nitukane uone