KERO Kuna mgao wa umeme wa siri au kulikoni?

KERO Kuna mgao wa umeme wa siri au kulikoni?

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

Crocodiletooth

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2012
Posts
20,561
Reaction score
24,428
Kila uchwao tabata wanakata umeme, I am comfused, what is wrong nothing going at all.

Wiki mbili sasa kila siku lazima wauondoe kwa saa karibu 5-7, leo hii tarehe 18/11 toka saa 4, asubuhi hatuna umeme mpaka muda huu.

#Tuimarishe vyanzo vya nishati mbadala.
 
Nashangaa umerudishwa dakika chache zilizopita, hakika JF is a powerful tools, Thanks!
 
Magufuli alijenga bwawa kubwa sana la umeme
 
Juzi walikata saa 6 usiku wakarudisha saa 11 alfajiri:eneo Mbagala
 
Kila uchwao tabata wanakata umeme, I am comfused, what is wrong nothing going at all.

Wiki mbili sasa kila siku lazima wauondoe kwa saa karibu 5-7, leo hii tarehe 18/11 toka saa 4, asubuhi hatuna umeme mpaka muda huu.

#Tuimarishe vyanzo vya nishati mbadala.
Kwa minajili ya kuwapooza wananchi, Hangaya amelipia waingie bure mechi ya starz na Guinea
 
Mleta Uzi,
Hiki 'Kikristo' chako ukikileta mjini unafungwa bila huruma kwa kosa la kugushi Lugha.
 
Back
Top Bottom