Mwishokambi
JF-Expert Member
- Nov 23, 2020
- 390
- 1,425
Winga Mghana Okrah haonekani dimbani, sijamuona Dubai akiwa benchi wala mchezo wa Leo na Mbeya City ambao tumenusurika.
Hivi hizi tetesi kuwa hana furaha kuchezea Simba na ameomba arudi kwao ni za kweli au vipi kama hataki kuchezea Simba kwanini wamng'ang'anie sasa, wachezaji wa Ghana inaonekana wasumbufu sana nikitolea mfano Morrison, jana kule Singida nao wamemtema kiaina Enock Atta.
Viongozi wa Simba watueleze Okrah ana shida gani, mnapoficha mambo ndipo mnapotupa ghadhabu.
Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app
Hivi hizi tetesi kuwa hana furaha kuchezea Simba na ameomba arudi kwao ni za kweli au vipi kama hataki kuchezea Simba kwanini wamng'ang'anie sasa, wachezaji wa Ghana inaonekana wasumbufu sana nikitolea mfano Morrison, jana kule Singida nao wamemtema kiaina Enock Atta.
Viongozi wa Simba watueleze Okrah ana shida gani, mnapoficha mambo ndipo mnapotupa ghadhabu.
Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app