Mwishokambi
JF-Expert Member
- Nov 23, 2020
- 390
- 1,425
alimfitini dejan sasa aone fitina zakeWinga Mghana Okrah haonekani dimbani, sijamuona Dubai akiwa benchi wala mchezo wa Leo na Mbeya City ambao tumenusurika.
Hivi hizi tetesi kuwa hana furaha kuchezea Simba na ameomba arudi kwao ni za kweli au vipi kama hataki kuchezea Simba kwanini wamng'ang'anie sasa, wachezaji wa Ghana inaonekana wasumbufu sana nikitolea mfano Morrison, jana kule Singida nao wamemtema kiaina Enock Atta.
Viongozi wa Simba watueleze Okrah ana shida gani, mnapoficha mambo ndipo mnapotupa ghadhabu.
Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app
Walisemaje kuhusu Okrah?Mashabiki wa Simba ni mzigo sana. Angalia huyu nae, mbona ilishatolewa ufafanuzi! Timu ikianza mazoezi utamuona tuache kupanic ovyo!
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Sio kila kitu ni cha kuweka hadharani mambo mengine yanamalizwa ndani ya nyumbaWinga Mghana Okrah haonekani dimbani, sijamuona Dubai akiwa benchi wala mchezo wa Leo na Mbeya City ambao tumenusurika.
Hivi hizi tetesi kuwa hana furaha kuchezea Simba na ameomba arudi kwao ni za kweli au vipi kama hataki kuchezea Simba kwanini wamng'ang'anie sasa, wachezaji wa Ghana inaonekana wasumbufu sana nikitolea mfano Morrison, jana kule Singida nao wamemtema kiaina Enock Atta.
Viongozi wa Simba watueleze Okrah ana shida gani, mnapoficha mambo ndipo mnapotupa ghadhabu.
Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app
Si angeenda kutumbukiza tu hela benki then Simba wanamruhusu!Augustine Okrah aliomba kuondoka dirisha hili baada ya namba kuwa ngumu ila uongozi ukaweka ngumu ndio kisanga kimeanzia hapo