johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Bado ni tetesi kwa sababu huyo Mgombea bado anabembelezwa na wapambe wake asijitoe Ili kulinda Heshima ya chama
Naendelea kufuatilia kwa karibu na nitawajuza kinachoendelea
Naendelea kufuatilia kwa karibu na nitawajuza kinachoendelea