Katesh stand
Member
- Sep 24, 2020
- 41
- 75
Ni Ramadhan Ighondu wa Singida Kaskazini.
Alifanya hivyo jana katika kijiji cha Mangida kata ya Msange katika kanisa la FPCT.
Je, hii inaruhusiwa na sheria za uchaguzi?
Alifanya hivyo jana katika kijiji cha Mangida kata ya Msange katika kanisa la FPCT.
Je, hii inaruhusiwa na sheria za uchaguzi?