GuDume
JF-Expert Member
- Jan 18, 2015
- 6,651
- 14,337
Kwa jinsi hali ilivyo ni wazi kuwa wachezaji wa man united hawamtak jose mou.mimi ngemshauri mambo mawili.
1. Akae nao chini waongee wayamalize asiwe na kiburi maana kama wameamua ku Unite against him hawez washinda. Inawezekana nusu ya team haimuungi mkono na watamchomea sana kwa mashabiki na viongozi.akae chini aongee nao wayamalize.tuliona walichomfanya chelsea na mwisho akaondolewa.
2. Ajiuzulu kuficha aibu itakayomjia siku za mbeleni. Maana watazidi mwaibisha. Anapaswa ajue namna ya kuishi na wachezaji.ni kama watoto au wanafunzi shuleni.wanaweza amua kumfukuzisha mwalimu.wakiamua wote kusema hatumwelew, wakaamua kufail somo lake.jina la shule ndo linaharibika so shule mwishoni itaamua mwondoa mwalimu.
Yajayo ni ya huzuni kuliko yaliyopo sasa.
1. Akae nao chini waongee wayamalize asiwe na kiburi maana kama wameamua ku Unite against him hawez washinda. Inawezekana nusu ya team haimuungi mkono na watamchomea sana kwa mashabiki na viongozi.akae chini aongee nao wayamalize.tuliona walichomfanya chelsea na mwisho akaondolewa.
2. Ajiuzulu kuficha aibu itakayomjia siku za mbeleni. Maana watazidi mwaibisha. Anapaswa ajue namna ya kuishi na wachezaji.ni kama watoto au wanafunzi shuleni.wanaweza amua kumfukuzisha mwalimu.wakiamua wote kusema hatumwelew, wakaamua kufail somo lake.jina la shule ndo linaharibika so shule mwishoni itaamua mwondoa mwalimu.
Yajayo ni ya huzuni kuliko yaliyopo sasa.