Kuna mikopo kwa dhamana ya kiwanja

Kuna mikopo kwa dhamana ya kiwanja

baba frances

Member
Joined
Dec 18, 2016
Posts
39
Reaction score
37
Habarini wanajamii forum wenzangu Leo nimekuna naubishana na jamaa Fulani juu ya uwezo wa kukopa Pesa katika taasisi za kifedha hasa hasa katika mabenk kwa dhamana ya kiwanja hivyo naomba kwa mwenye uelewa juu jambo hili naomba anisaidie kuwa naweza kukopa nikaweka dhamana kiwanja chenye hati miliki?
 
Ukiuza hicho kiwanja utapata pesa ya chap chap, sema usiweke bei ya juu tu. [HASHTAG]#Ushauri[/HASHTAG]
 
Habarini wanajamii forum wenzangu Leo nimekuna naubishana na jamaa Fulani juu ya uwezo wa kukopa Pesa katika taasisi za kifedha hasa hasa katika mabenk kwa dhamana ya kiwanja hivyo naomba kwa mwenye uelewa juu jambo hili naomba anisaidie kuwa naweza kukopa nikaweka dhamana kiwanja chenye hati miliki?
Inawezekana kabisa kukopa kwa dhamana ya kiwanja, muhimu ni kiasi cha mkopo kama kinaendana na thamani ya kiwanja. Mfano una kiwanja chenye thamani ya Tzs.30million na unataka mkopo wa 15million, hapo thamana itakuwa imekidhi wewe kupata mkopo.
Note: Kuna viwanja hapa bongo vina thamani zaidi ya nyumba, wewe pita pita mitandaoni utaona Chamazi Nyumba inauzwa 50million lakini pande za Bunju, Mbweni, na Salasala ni bei ya kiwanja.
 
Inawezekana kabisa kukopa kwa dhamana ya kiwanja, muhimu ni kiasi cha mkopo kama kinaendana na thamani ya kiwanja. Mfano una kiwanja chenye thamani ya Tzs.30million na unataka mkopo wa 15million, hapo thamana itakuwa imekidhi wewe kupata mkopo.
Note: Kuna viwanja hapa bongo vina thamani zaidi ya nyumba, wewe pita pita mitandaoni utaona Chamazi Nyumba inauzwa 50million lakini pande za Bunju, Mbweni, na Salasala ni bei ya kiwanja.
Kama bank gani wanaweza nikopesha niende
 
Una eneo lenye ukubwa gani na unahitaji kikopa kias gani?
 
Nina shida inayofanana na hiyo, kwa case yangu I only need 5 mil, kwa kuuza au kuweka bond 2 plots, moja ipo Luchelele, na nyingine bukumbi (hii Ina Hati ya kimila) both yana ukubwa almost sawa, 20 kwa 30 yote yapo Mwanza
 
Back
Top Bottom