Tanzania tuna mwingiliano na Wakongo hivyo Wizara ya Afya ichukue hatua za dharura kuzuia ugonjwa huo usiingie!
Aidha jamii za Wahezabe,Wasandawe na jamii zinazozunguka maeneo hayo ni walaji wa Nyani na tumbili ziangaliwe vizuri.
Tanzania tuna mwingiliano na Wakongo hivyo Wizara ya Afya ichukue hatua za dharura kuzuia ugonjwa huo usiingie!
Aidha jamii za Wahezabe,Wasandawe na jamii zinazozunguka maeneo hayo ni walaji wa Nyani na tumbili ziangaliwe vizuri.