Kuna mlipuko wa ungonjwa wa Homa ya Nyani (MPox) DRC na inadhaniwa kusambaa nchi nyingine

Eli Cohen

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2023
Posts
4,460
Reaction score
13,715
Tanzania tuna mwingiliano na Wakongo hivyo Wizara ya Afya ichukue hatua za dharura kuzuia ugonjwa huo usiingie!
Aidha jamii za Wahezabe,Wasandawe na jamii zinazozunguka maeneo hayo ni walaji wa Nyani na tumbili ziangaliwe vizuri.
 
Tanzania tuna mwingiliano na Wakongo hivyo Wizara ya Afya ichukue hatua za dharura kuzuia ugonjwa huo usiingie!
Aidha jamii za Wahezabe,Wasandawe na jamii zinazozunguka maeneo hayo ni walaji wa Nyani na tumbili ziangaliwe vizuri.
Sure
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…