Kim Jong Jr
JF-Expert Member
- Mar 15, 2014
- 11,074
- 20,608
Burna Boy anajua ila hana hit song, kama unanibisha nitajie hitsong zake walau nne.Umemwacha wapi Burna Boy, jamaa nakubali sana vocal lake.
Tupo wengiYuko vizul sana yule kaka me naipenda sura yake tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bennie man
[emoji12] [emoji12] [emoji12]Tupo wengi
Nilimkumbusha kwamba kwenye list yake Burna boy hakumweka kabisa. Otherwise you are rightBurna Boy anajua ila hana hit song, kama unanibisha nitajie hitsong zake walau nne.
Patoranking huyu mtu ni nyoko, hapo mleta mada hajataja ngoma ambazo kashirikishwa alivyoharibu mbaya. kasikilize wimbo alioshirikishwa na rich mavoko halafu ile ngoma ambayo yuko featured na sauti soul. Hahahahaha huyu jamaa unaweza dhani ni jamaican.
Sijakusikilizisha ngoma ya Major lazier ft Nasty C, Ice prince na Patoranking alivyochakaza kile kibwagizo "Come Come Come Gimme Yo Loveyaaaah "
Huyo ndio mzee wa Wetseeeeeah
[HASHTAG]#soke[/HASHTAG]yawa dey
check and balance
halelujah
Labda kama humjui Sean PaulKwa afrika sawa..kwa dunia hakunaga kama shabba ranks
Ingawa Mimi ni shabiki Namba moko wa pato
Tangia dunia hii ianze hakuna aliyewahi kufanya Dancehall ya kumzidi Sean PaulBinafsi napendelea Dancehall Original kutoka Jamaica hii ya wanamuziki wetu wanaoiga Lafudhi ya Kijamaica ni Dancehall feki!
Binafsi napendelea Dancehall Original kutoka Jamaica hii ya wanamuziki wetu wanaoiga Lafudhi ya Kijamaica ni Dancehall feki!
Tangia dunia hii ianze hakuna aliyewahi kufanya Dancehall ya kumzidi Sean Paul
wanawake katika ubora wenuupo km mm
hafai uyo bwana Patrick nnemekeno kissing bby
this kind love....hatariiiiiiiiiiiiiiiiii