Kuna msichana yeyote wa JF Arusha?

Celebrity

Member
Joined
Jan 7, 2010
Posts
66
Reaction score
1
Naelekea AR kwa rikizo ya one week, ningependa nifikie kwa msichana yeyote aliyoko single wa JF. safari yangu itakuwa poa sana nitaishi naye kwake huku tukijadiri mambo mengi na ni mara ya kwanza mimi kufika Ar. Tutaanzisha thread pamoja kwa furaha.
sipendi nifikie kwa mwenye famiria au mume sababu ziko wazi wamaume tuna wivu sana. Nasubili majibu yenu vimwana wa AR.
 
nipo karibu.....sana
naishi kambi ya fisi mbele kidogo ya matejoo
 
jamani watu mna mambo na vijimambo kwanini msichana na si mvulana??
 
nipo karibu.....sana
naishi kambi ya fisi mbele kidogo ya matejoo
Mtapigana vikumbo huko na Lily Flower na Preta

Afu Hiri rimjamaa rinaweza kuwa riafande mura............
 

kumbe matumizi ya R na L bado ni magumu hadi leo??
Mungu atusaidie.
 
Mtapigana vikumbo huko na Lily Flower na Preta

Afu Hiri rimjamaa rinaweza kuwa riafande mura............

yaani 'r' na 'l'
grrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr!!!!!!!!!
 

Nyivonduma sir
Member
Join Date: Thu Jan 2010
Posts: 38
Thanks: 13
Thanked 5 Times in 5 Posts

Mwanzo mzuri sana huu. Kijana ongeza juhudi!
 
jamani watu mna mambo na vijimambo kwanini msichana na si mvulana??

Kwa nini nifikie kwa mwanaume? unaweza kufikia kwa rijambazi ati. sijapata PM yeyote Arusha mpooo? halafu naskia kuna baridi kwerikweri
 

Nyivonduma sir
Member
Join Date: Thu Jan 2010
Posts: 38
Thanks: 13
Thanked 5 Times in 5 Posts

Mwanzo mzuri sana huu. Kijana ongeza juhudi!

mmh mwanzo upi mzuri?
na juhudi ndo ziko wapi za kuongezea?
 
Kwa nini nifikie kwa mwanaume? unaweza kufikia kwa rijambazi ati. sijapata PM yeyote Arusha mpooo? halafu naskia kuna baridi kwerikweri
PM ya nini nawe
mbona mi nshaandika hapo....we Nyivo
 
inavoonekana wewe ni mwanaume,kwanini unataka msichana single 😱ukae kwake au upokelewe tu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…