Kuna msichana yeyote wa JF Arusha?

sasa unakasirika nini si umetangaza mwenyewe lakini?vipi humtaki huyo wa mc lema?sema tuu
Hakuna mwenye roho mbaya hapa JF, ila wewe ndo unawachanganya wana JF kwa kutaka kufikia kwa Msichana. Mi ushauri wangu nenda na Msichana wako au mkeo, usije ukaharibikiwa, Arusha si Mchezo!
 
Kwani lazima ufikie kwa msichana wa JF?
Mbona mademu wengi sana A-town chaguo lako tu na pochi yako tu.
 


Mh, ninawasiwasi kama hata kama yupo atajitokeza kwa uandishi wako.

Bado kidogo ungeandika unaenda Alusha

Hayo pembeni, hili mbona si jukwaa lake?
 
du jamaa we noma hiyo njia yao ya kupatia demu ni babkubwa, hongera but take care
 
kanda ya Tarime mkuu


Unamanisha ni "Mapanga Shaa"
Hakuna mtu atataka kumkaribisha. Ushauri wa bure aende kule nilikomwelekeza, wako wa kumwaga wa bei tofauti tofauti.
 
Kwa nini nifikie kwa mwanaume? unaweza kufikia kwa rijambazi ati. sijapata PM yeyote Arusha mpooo? halafu naskia kuna baridi kwerikweri

siku hizi wadada ndo majambazi wakubwa! we nenda tu na mihela yako uingizwe mjini
 
Hizi style zinanilkumbusha dada nani vileeeeeee alikuja post yake ya kwanza anatafuta mchuba yaani hakuna tofauti sana na huyu wewe Arusha hotel zote hujaziona mpaka ufikie kwa watu? Wacha!!
 
Hizi style zinanilkumbusha dada nani vileeeeeee alikuja post yake ya kwanza anatafuta mchuba yaani hakuna tofauti sana na huyu wewe Arusha hotel zote hujaziona mpaka ufikie kwa watu? Wacha!!

mi bado sijelewa kwa nini anataka tu single wa jf memba,analengo gani na masingle ladies wa jf.
 
Hala hala ndugu watu wa Arusha hawana dogo,kwa ushauri wa bwelele fikia nyumba za wageni,uliza wenzako wamejikuta wako Mount Meru hospital wakiwa hawana naniliu au wameshananiliu.Wanawake wa Arusha waogope kama wenye ukoma
 
Hala hala ndugu watu wa Arusha hawana dogo,kwa ushauri wa bwelele fikia nyumba za wageni,uliza wenzako wamejikuta wako Mount Meru hospital wakiwa hawana naniliu au wameshananiliu.Wanawake wa Arusha waogope kama wenye ukoma

Mwambie hana reference ya matukio ya Arusha-kwanza JF hakuna aliye free thread ya PJ "Couples za JF" inathibitisha aluu
 

bwana nyivo....karibu sana arachuga....mimi ninaishi ngalelo....be my guest...ila....aga kabisa huko kwenu kuwa unaweza ukarudi au usirudi....zingatia......usiseme sikukuonya
 
Aroon muraaa aman'gana keee.aman'gana gasarikiree. Aliyemtenda MC Lema ni my misezi wa mwenyewe keshamrudisha tbr kulea wanae.ushaelekezwa maeneo yote ya kimsingi kulingana na maoni yako ongezea na ngaranaro kuna vibanda vya chamu vya kumwaga ila yote kwa yote jihadhari na sime tusijepoteza michango yako hapa bado tunaihitaji.
 
Arafu ukifika muda unamuamurisha mwenyeji "rara chini nikurenge" au wewe ni wale wa mama koku saa imefika twende tukaperform
 
Mambo ya kuzamia kwenye kabati la nguo au kurukia darini yakhe utaweza?
 
Tatizo la wabongo bwana, unapanga likizo hafu unamtaka na bibi wa kukaa naye? Punguza spidi kijana hapa kuna kona nyingi utaumia. Jitahidi kuchangia ktk mada mbalimbali siyo kila ukitoka unamtafuta bibi. Halafu siyo lazima huyo binti awe wa hapa JF manake wengi kama si kuwa na wachumba basi wanawaume na familia zao. kama unataka kuspendi si upite uwanja wa fisi beba mmoja uende naye akakunukie sigara?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…