Kuna Mtanzania anafanya kazi Canada?

Wakikujia unitag...Maana mwenyewe Nina shauku ya kufika huko kutafuta maokoto..Bongo nyoso
 
Mimi yupo mtu Canada ni rafiki yangu na hayupo humu nipe swali lako nitakurudishia majibu baada ya kumuuliza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…