Kuna mtu alipendwa kama Juma Nature hapa Tanzania?

wazazi wanaingia vp hapa? your too low
 
Juma alikuwa anapendwa sana kwenye vibanda vya gongo na wanzuki
 
sio "alipendwa" mpaka sasa bado anakubalika.. subiri fiesta uone timbwili lake.. jamaa anajua alafu ana wafuasi wengi.
 
j nature alikuwepo zanzibar jumamosi hii ya juzi na mapacha watatu wakiimbia viti pale police mess
 
Dah,bora tumpe tafu Nature manake ally kiba hauzuki kabisa.Huyu dadamondi Huyu....nuksi sana.Ona tunavo haha kumtafuta wa kututoa stress.Bora nature bana.
 
Ili gemu - n moja kati ya nyimbo bora za Juma nature
 
kikubwa ni kuangalia alipokuwa juu alitumia vp nafasi yake kimuzk hakunq mtu atayekuqa juu milele cha msingi ni kutumia nafasi unapoipata
 
Enz ya walkman ngoma kali kama dingi bic yenyewe ilizunguka mpaka mwandiko ulilewa muulize ngosha alijskiaje kukaa na mfalme studio enz zile anaita ng'wanamke sio demu hata zawad za nje zilikuwa 2kiletewa na kakazetu 2lizizindua kwa albam kali kama nin chanzo hiyo ndo ilikuwa dar na hao ndo walikuwa wajanja watu na uzur mpaka leo wanatajwa
 
hivi kuna mtu aliwika na kupendwa kama juma nature sasa yuko wapi so huyo yaliyompata ajue ndio mwanzo wa mwisho kawaida tu,mzee reksa alisema kila zama na kitabu chake

reference ya hii uzi ni kwa diamond ha ha ha ume shindwa kumnadi kiba..anyway nature kajiua mwenyewe kwenye muziki anaendekeza sana pombe na ganja hata p funk majani alisha semaga hii kitu kweny kipind cha mkasi. but for this time ni zamu ya chibu mwache atese na usitegemee kama ata shuka leo kama hutaki kanye fenesi .
 
kipi ni kipi!??

Nature kasumbua kwa wakati wake ,

Mr Nice kwa Wakati wake,

Kiba,20 per,Blue,Q chilla,Mnyama T.I.D,Prof J,Komando Jide,Ray c Kila Mmoja alitamba kwa wakati wake,,

Sasa ni zamu ya kijana platnum kwa nn hatutaki kuukubali Ukweli?

Mwacheni mtoto wa watu afanye yake bana Majungu hayata saidia kitu
 
Kupendwa sana kwa juma nature enzi hizo hakuzuii chochote kwa Diamond kufanya vizur kwa wakati wake. Na ye tunampenda kwa wakati wake! ! Ukitaka kujua the guy is the best kuuuuuuuuutwa kumfanyia comparison na wengine, hiyo inaonesha kijana Rock's the music here, kudos Mr platinum.
 
Dah,bora tumpe tafu Nature manake ally kiba hauzuki kabisa.Huyu dadamondi Huyu....nuksi sana.Ona tunavo haha kumtafuta wa kututoa stress.Bora nature bana.

Hahahaaa # words # neno umenichekesha sana wanahangaiiiiika kumuuza mtu wao, badala wamshauri afanye kazi nzuri zimuuze, kazi kujifanya wapiga ramli kutabiri kuanguka kwa Diamond Msolopagaz
 
Last edited by a moderator:
Watanzania Wengi Wana Wivu Sana.Leo Ukimuuliza Mtu Sababu Hasa Za Kumchukia Diamond Ni Zp, Hana..,yani Ni Fitina Za Makusudi Tu.
 
Leo ukiangalia mpira unaochezwa tanzania ukilinganisha nyakati za kina mogela, gaga, china, marsha na kitwana leo ufananishe na kina ngasa, domayo, chanongo unaweza kulia lakini hawa vijana ndio wanapata pesa kuliko wale kifupi aliesema kila kitabu na zama zake kwangu inaleta maana.
 
Ngwair alipendwa na bado anapendwaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…