toplemon
JF-Expert Member
- Mar 26, 2017
- 4,612
- 4,721
Heri wanajukwaa
Kuna alishawahi kununua simu mtandaoni km ebay, amazon na aliexpress akatumiwa simu kwa njia ya posta akaipata bila kuibiwa?
Nataka kununua simu aliexpress sasa itabidi nitumiwe kwa njia ya posta
Hebu ambao mshawah kununua mkatumiwa kupitia posta nipeni feedback zenu
Vp kodi kwa upande wa simu?maana nanunua moja tu
Kuna alishawahi kununua simu mtandaoni km ebay, amazon na aliexpress akatumiwa simu kwa njia ya posta akaipata bila kuibiwa?
Nataka kununua simu aliexpress sasa itabidi nitumiwe kwa njia ya posta
Hebu ambao mshawah kununua mkatumiwa kupitia posta nipeni feedback zenu
Vp kodi kwa upande wa simu?maana nanunua moja tu