Kuna mtu amekuja ofisini akidai ametumwa kuchukua rekodi za watu na biashara zao

Kuna mtu amekuja ofisini akidai ametumwa kuchukua rekodi za watu na biashara zao

Ricky Blair

JF-Expert Member
Joined
Mar 13, 2023
Posts
463
Reaction score
1,009
Kuna mtu limekuja office leo linadai limetumwa sijui na mkurugenzi uko serikalini kuchukua record za watu na biashara zao to do God knows what? Jamani hawa watu sijui TRA, Serikali wananichefua kwa kila kitu. As if wanataka kufanya vitu vya muhimu.
 
Back
Top Bottom