Mtoto Tajiri
JF-Expert Member
- Sep 29, 2014
- 300
- 173
Wakuu,
Idea yenyewe ni hivi, kukopesha wahitaji wa pesa ndogo ndogo watumishi wa uma kwa riba ya 10% kwa mwezi, mfano mtu anakuja unampa laki1, cash then wewe unasubiri mwisho wa mwezi unachukua laki na 10.
Swali ni hivi je ni taratibu gani mtu anatakiwa afanye ili pesa yake ikatwe kutoka kwenye mshahara wake na kwenda kwenye akaunti yako moja kwa moja?
Natanguliza shukrani
Idea yenyewe ni hivi, kukopesha wahitaji wa pesa ndogo ndogo watumishi wa uma kwa riba ya 10% kwa mwezi, mfano mtu anakuja unampa laki1, cash then wewe unasubiri mwisho wa mwezi unachukua laki na 10.
Swali ni hivi je ni taratibu gani mtu anatakiwa afanye ili pesa yake ikatwe kutoka kwenye mshahara wake na kwenda kwenye akaunti yako moja kwa moja?
Natanguliza shukrani