Mtoto Tajiri
JF-Expert Member
- Sep 29, 2014
- 300
- 173
Hapo Ni ngumu sana maana Wewe sio taasisi ya fedha kisheria, pia makubaliano yako na unayemkopesha hayapitii Kwa mwajiri wa mdeni wako. So simply impossible!!!!
usikopeshe watu kwa riba ni haramu. acha mfumo huo. kuna njia zaidi ya bilioni za kutafuta fedha kihalali pitia hapa jukwaani utaziona. Muogope ALLAH.
Allaah Amehalalisha biashara na kuiharamisha riba - (Quran 2: 275)
Enyi Mlioamini! Mcheni Allaah, na acheni yaliyobakia katika riba, ikiwa mmeamini. Na kama hamtafanya hivyo, basi fahamuni mtakuwa mmetangaza vita na Allaah na Mtume Wake - (Quran 2: 278 279)
kumbuka usiseme umemkopesha kwa riba, sema umemkopesha 110 000, ukikosea anakuruka kwani haujasajiriwa, pia hulipii mapato hivyo na ww ujakuwa na kimbembe chako cha kujibu