Kuna mtu kaishaitumia hii Toyota FJ cruiser na ufanisi wake upoje?

Kuna mtu kaishaitumia hii Toyota FJ cruiser na ufanisi wake upoje?

Black Legend

Senior Member
Joined
Jul 28, 2015
Posts
174
Reaction score
301
Nimeona hii gari Toyota FJ Cruiser, inaonekana ni gari makini saana lakini bei yake ni hatarii....kuna mtu kaishaitumia hii na ufanisi wake upoje?

19.jpg
02fj.jpg
03.jpg
05fj.jpg
 
Hii gari kuna mhindi moja anayo mwanza.

Sent from my SM-G950F using JamiiForums mobile app
 
Yeees mdau, bei yake ni mbalii saana.... ina range FOB yake USD 15000 hadi zaidi ya USD 80,000.
Dah mkuu kwa makadirio uliyoleta hapa kwa sisi wa hesabu la darasa la tatu tuu umetuacha ni sawa na useme ni kati ya sh. Ml 33 hadi ml. 170 sasa manake nini
Ni sawa na useme nina mfukoni shilingi kati ya elfu 5 na milioni
Ungesema sijui labda eee??

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
Hiyo gari kwa mara ya kwanza niliiona Bariadi Simiyu ikiwa inamilkiwa na mchimbaji wa madini ya rubi aishie Mozambique pia ikiwa na plate no ya Msumbiji

Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app
 
Dah mkuu kwa makadirio uliyoleta hapa kwa sisi wa hesabu la darasa la tatu tuu umetuacha ni sawa na useme ni kati ya sh. Ml 33 hadi ml. 170 sasa manake nini
Ni sawa na useme nina mfukoni shilingi kati ya elfu 5 na milioni
Ungesema sijui labda eee??

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app

Nilikuwa namaanisha kuwa zile za bei ya chini zinaanzia dola 15000 kabla ya kusafirishwa toka Japan hadi dola 80,000 kwa zile za bei ya juu kulingana na ubora na mwaka zilipotengenezwa.
 
Nilikuwa namaanisha kuwa zile za bei ya chini zinaanzia dola 15000 kabla ya kusafirishwa toka Japan hadi dola 80,000 kwa zile za bei ya juu kulingana na ubora na mwaka zilipotengenezwa.
Ok!!! Ahsante kwa mrejesho mkuu

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
Mara ya kwanza na ya mwisho kuiona hii gari ni Kigogo round about, rangi ilikua ya damu ya mzee
 
Mkuu hio haifai sambambana Prado New Model
Hazina balance ukiwa mafuta chini Hihgway
Hlf rough road hizo zinadunda sio tena kuruka kwasbb ya chesis zake wamefanya fupi saaaana
 
Mkuu kuna volvo New model ya 2017 moto wa kuotea mbal v8 kabisa ikiwa Lough road

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Moja ya Watu wanaomiliki hii gari kwa hapa Tz ni Kachero Bernard Camilius Membe

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom