Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Unamaanisha walikuwa matapeli?Mm nilitumiwa message imeanza na neno TIGOPESA Kwa namba mpya kuwa umepokea T-sh 198000 na salio lako jipya ni T-sh 622000.dk moja mbele nikapigiwa simu Mtu anasema anapiga simu toka TIGO nikaanza kuirecord.mara ananiuliza napiga Simu kutoka Tigo samahani naongea na Nani? Nikamwambia winfrida Haule.Akaniuliza Winfrida upo Wapi kwa Sasa hivi, nikamwambia nipo Dar es salaam.
Mara ya mwisho ulitumia huduma gani ya tigopesa ulitoa hela au uliweka na unaweza kukumbuka mara ya mwisho ulikuwa na kiasi gani? Nikamjibu ngoja nicheki salio.. itaendelea hapo chini...
Ndiyoooo niliwagundua mapema..walikuwa wakiniuliza maswali ya kijinga nikawa sitoi ushirikiano..mfano unakumbuka ni kiasi gani kimeingia kwenye akaunt yako dakika Kumi zilizopita? Huku namba hiyohiyo Ndo imetuma meseji na hiyohiyo ndo imenipigia. Nitaendelea hapo chiniUnamaanisha walikuwa matapeli?
Wakuu nimetumiwa pesa mtu simjui Toka Jana hadi Leo sijapigiwa simu vipi nile? Maana nimechoka kusubiri
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu wapi nimeandika Kua Nina njaa? Usinitie hasira utamkosesha pesa mwenzio shauri yako
Sent using Jamii Forums mobile app