Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 7,899
- 10,415
Subiri waliotabiriwa kama wapo humu watakuja kutoa ushuhudaHabari wakuu,
Kuna mtu mmoja wa sura ya kihindi amepita Dar es Salaam, maeneo ya Mwenge, anawatabiria watu maisha yao.
Je, na nyinyi mmemwona? Je mambo anayo watabiria watu ni ya kweli?"
Sasa wewe hiii forum ni world wide,ila unaleta swali as if ni forum Kwa dsm dwelersHabari wakuu,
Kuna mtu mmoja wa sura ya kihindi amepita Dar es Salaam, maeneo ya Mwenge, anawatabiria watu maisha yao.
Je, na nyinyi mmemwona? Je mambo anayo watabiria watu ni ya kweli?"
Akikutabiria vinginevyo utachekelea kwamba soon unapoteza laini yako ya Yas?Na mimi namtaka
Yes. Na hili ni tatizo kubwa kwa baadhi ya wanaJf. Wengi wanasahau Jf ipo mpaka huku Umasaini ndani-ndani huku.Wanadhani Jf ni kwa ajili ya wanaoishi Dsm tu. Kumbe sio hata kidogo. Halafu nyuzi zenye maudhui ya mahusiano ya Me na Ke ndo zimetamalaki. Tupanue wigo.Sasa wewe hiii forum ni world wide,ila unaleta swali as if ni forum Kwa dsm dwelers
Amepita mwenge- dar es-salaamHabari wakuu,
Kuna mtu mmoja wa sura ya kihindi amepita Dar es Salaam, maeneo ya Mwenge, anawatabiria watu maisha yao.
Je, na nyinyi mmemwona? Je mambo anayo watabiria watu ni ya kweli?"
Ndio mkuu, yaani nimeshangaa kiukweli.karudi tena , miaka ya nyuma alikuwa anapita sana..inshort anakustudy tu jinsi ulivyo anaanza kukwambia matatizo yako na mafanikio yako.Anacheza na saikolojia tu..
Majibu ya utabiri hufuata baadae.Habari wakuu,
Kuna mtu mmoja wa sura ya kihindi amepita Dar es Salaam, maeneo ya Mwenge, anawatabiria watu maisha yao.
Je, na nyinyi mmemwona? Je mambo anayo watabiria watu ni ya kweli?"