July Fourth
JF-Expert Member
- May 2, 2012
- 2,240
- 795
mkuu maelekezo yanasema uweke program zisizopungua sita ukiacha program 5 nadhani itakuwa matatizo..Ngoja na mimi niangalie! Jamani nikiacha program 5 itakuwaje?
wamgepewa waiendeshe jamiiforums sijui ingekuwaje...maana user wao ni wachache lakini imewashindabila shaka hawa tcu wataongeza muda maana hii site yao imekuwa na matatizo kibao
Hii web hainiruhusu kulog-in eti ninakosea passwd au username, tatizo limeanza leo, nataka kufanya mabadiliko kwenye kozi zangu bt i cnt.. Kuna mtu mwenye clue anisaidie..nashukuru
Nimepata taarifa kwamba,tatizo linafumbuliwa hv.Hii web hainiruhusu kulog-in eti ninakosea passwd au username, tatizo limeanza leo, nataka kufanya mabadiliko kwenye kozi zangu bt i cnt.. Kuna mtu mwenye clue anisaidie..nashukuru
Nimepata taarifa kwamba,tatizo linafumbuliwa hv.Hii web hainiruhusu kulog-in eti ninakosea passwd au username, tatizo limeanza leo, nataka kufanya mabadiliko kwenye kozi zangu bt i cnt.. Kuna mtu mwenye clue anisaidie..nashukuru
Nimepata taarifa kwamba,tatizo linafumbuliwa hv.
Andika username yako then password ni 123456
lakini unatakiwa u-update upya, program zako pamoja na password..