Kuna mtu nampenda humu

Kama kuna mtu unampenda sema tu,mbona ni rahisi sana!!.......kwa mfano mimi huwa nampenda Miss Natafuta na huwa nasema kila siku!!......Sema mkuu ili huo moyo wako upumue!!
 
Usimpatezee muda kwani mwingine nae anaweza akawa na fikra kama zako. Suluhisho mwambie hisia zako tu, ayakavyochukulia ibaki kwake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…