Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,577
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] tii kiu yakoHabari za weekend wana jf
Mwenzenu kuna MTU nimemzimia humu jf
Nikiona thread yake tu mapigo ya moyo yanabadilika, basi nitairudia kuisoma hiyo thread yani najiona ka Niko nae
Nilifikilia kumfuata pm but baadae nikaogopa nikaona anaweza akanuna akaja kunianika
Huku
Nifanye ñn?
[emoji4] [emoji4] [emoji4] toa ushauri banaaNitakuwa Mimi..njoo usiogope
[emoji15] [emoji15] kumbe!Kwanza hakuna Mwanaume anayekataa papuchi,
Madame sisi ni mazombie,
na sikuzote zombie halishibi damu
Funguka coz Hakuna Mwanaume mwenye jeuri yakutongozwa akakataa...Habari za weekend wana jf
Mwenzenu kuna MTU nimemzimia humu jf
Nikiona thread yake tu mapigo ya moyo yanabadilika, basi nitairudia kuisoma hiyo thread yani najiona ka Niko nae
Nilifikilia kumfuata pm but baadae nikaogopa nikaona anaweza akanuna akaja kunianika
Huku
Nifanye ñn?
Daah". hebu mtaje uondoe sintofahamu bana, usivuruge concentration mtu unaweza kuthani ni wewe kumbe sio, okoa mida.Habari za weekend wana jf
Mwenzenu kuna MTU nimemzimia humu jf
Nikiona thread yake tu mapigo ya moyo yanabadilika, basi nitairudia kuisoma hiyo thread yani najiona ka Niko nae
Nilifikilia kumfuata pm but baadae nikaogopa nikaona anaweza akanuna akaja kunianika
Huku
Nifanye ñn?
Wenye wake sehemu kama hizi msiwe mnatujazia foleni.kwa kuwa mi sio muanzishaji wa threads mbalimbali nimejitoa kwa kujihisi
Kwanza hakuna Mwanaume anayekataa papuchi,
Madame sisi ni mazombie,
na sikuzote zombie halishibi damu
Asante mkuu ila naogopa anaweza kuja kunjchAna nikapata aibuuUshauri ni u m pm myajenge kuliko kuusemea moyo wako na kuishia kusoma post zake.atachukuliwa na warembo wenzio halafu ubakie kununa,sema naye usione soo.
He! Kwahiyo hata km demu Hujampenda unakubali tu?!Funguka coz Hakuna Mwanaume mwenye jeuri yakutongozwa akakataa...
Funguka upate haki yakoHabari za weekend wana jf
Mwenzenu kuna MTU nimemzimia humu jf
Nikiona thread yake tu mapigo ya moyo yanabadilika, basi nitairudia kuisoma hiyo thread yani najiona ka Niko nae
Nilifikilia kumfuata pm but baadae nikaogopa nikaona anaweza akanuna akaja kunianika
Huku
Nifanye ñn?
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Wenye wake sehemu kama hizi msiwe mnatujazia foleni.
Habari za weekend wana jf
Mwenzenu kuna MTU nimemzimia humu jf
Nikiona thread yake tu mapigo ya moyo yanabadilika, basi nitairudia kuisoma hiyo thread yani najiona ka Niko nae
Nilifikilia kumfuata pm but baadae nikaogopa nikaona anaweza akanuna akaja kunianika
Huku
Nifanye ñn?