Kuna mtu nimemzimikia

Saint Ivuga manga anakuita
nimeona sana... huyu dada yangu tunampeleka tanga kwenye kitchen party akafundwe upya...
ujue mara ya kwanza nilivyomtes baada ya kufundwa mbna alikuwa fresh tu binamu yangu.. sema najua kuna kitu hawajamjulia basi... hapa nawachora tu nikiona wanazidi kumzeesha binamu yangu namuweka ndani mwenyewe,,,, mtoto ni mali sana yule sijui kwa nn kina deby wanamchezea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…