Kuachana ni kudra za muumba. Ila kwqni husna tunampango wa kuaachana kwani!mm na baby wangu mapenzi yetu pm haya mambo ya show off siku mkiachana aibuuu [emoji23]
Nimeona like za husna muba kufungua naambiwa uzi haopo dah ni fura kiukweli ukweli yani mh kumbe masiala nayo hua kweli dahhhahhhahahh hasira hizo veep
sanaaa aiseeHahaha jf raha saana
Mkuu mke wangu aje inbox yako kufanya nn?NJOOOO TU IN BOX TUYAMALIZE NIME KUSOMA
ASANTE ULIJUAJEasisahau kukuwekea iriki na mdalasini kwenye maji ili unukie pilau kabisa
Mmh,asisahau kukuwekea iriki na mdalasini kwenye maji ili unukie pilau kabisa
sijakuelewa ujue masiala yapiNimeona like za husna muba kufungua naambiwa uzi haopo dah ni fura kiukweli ukweli yani mh kumbe masiala nayo hua kweli dah
hahahhahahhhMkuu mke wangu aje inbox yako kufanya nn?
MKEOO KAMA KWELI WEKA CHETI CHA NDOA MEZANI TUKIONE ACHA MANENO YA UBAS......EMkuu mke wangu aje inbox yako kufanya nn?
Ulinzi shirikishihahahhahahhh
Haya nenda kitakachokupata usinirudieMKEOO KAMA KWELI WEKA CHETI CHA NDOA MEZANI TUKIONE ACHA MANENO YA UBAS......E
WEKA CHETI ,,,,,,,,,,,,Ulinzi shirikishi
Khaaaaaa [emoji23][emoji23][emoji23] kaka vipi povu mwenye nchi yake ameshatengua mambo ya vyetiMKEOO KAMA KWELI WEKA CHETI CHA NDOA MEZANI TUKIONE ACHA MANENO YA UBAS......E
Saaaanaaaa yaaaani acha tuHahahaha
Ujue kupenda unapopendwa raha eeeh.
Hunielewi eeehWEKA CHETI ,,,,,,,,,,,,
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] shunie nenda kwa ivuga eeWewe jamaa yule mganga wako namjua naenda kumwambia atengue tunguli moja.. Haiwezekani shunnie anaona upo na husna ila anakutole macho kiasi hiki.. Roho inamtokaaaa wakati sie wengine tupo single ila anatuzungusha
[emoji23][emoji23][emoji23]Ulinzi shirikishi
sitaki mbona unanipa watu ww nan alikupa Daby[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] shunie nenda kwa ivuga ee
VP shosti?aiseee
Sikujua pale nilivo waona wote nilijua ni hapa nyumbani kumbe loow nikakimbiaweeeh mbona jana ulikuja kwenye uzi za watu [emoji23]