[emoji23][emoji23]Yaani Utafikiri umetaja mzizi, imenichukua dk 5 kujua ni jina la shemeji
Asanteakuone tu afurahi
Hehehehahahhhh anatamani bahati ya Daby angekua yy tatizo na yy anapotea sana humu
Wengi hujulikana labda akusudie ila ukijisahau tu ume bambwaila mm ata nikibadili nitajulikana tu teh
huko n hela tu sipokei mabox mmMabox yangu nataka ni yaweke huko
inabidi umchagulieAbadili tu, ila achague jina lenye mvuto
Nisha mshukulu tayartena nimemvumilia akushkuru sana
hahahhh mana una 1k kimchezo mchezo itakua makapuku ya 2Hehehe
Hebu husna aje afunge huu uzi, maana Manga kafanya ndo kijiwe
Sio kubebika hukouwiiiiiii atakua kajibebisha [emoji23]
Inamaana sakayo anahusika kotesakayo njo huku et niombe chochote [emoji23]
Heheheeti sakayo ni wa dar au mkoa au mbeba box [emoji23]
Si hivyo bali unaburudisha ha ha haaaHehehe
Mie ni wa maonyesho au
yaan sakayo n mshauri mkuuInamaana sakayo anahusika kote
Karibu ila babu Asprin mkaliAsante
halaf utakua ndg yng ujueHehehe
Mie niko waja leo waondoka leo
Eti eeh?hem nione ile id yangu mpyaHivi unajua ukibadili na tabia inabadilika kutokana na jina ulochagua
Na kweliinabidi umchagulie
Umemshukulu nani, mbona unakuwa muongo tenaNisha mshukulu tayar
Siriasi nanunua asee wanifurahisha atHehehe
Hebu aninunulie redbull