Ugumu unakuja pale anapoapply chuo ambacho hakimuakodeti kwa maana ya kutokuwa na sifa mtu ana 2.5 au 3.0 afu alikuwa h kunani kwenyeguidebook wameandika watu ambao wanasifa za kusoma hapo kwanini aliomba udsm
so bro Lino,naiyo equivalent yake awezi kuambulia kitu apo UDOM?nimwambie ajiandae kuvuna mabua sio???au watalam mnasemaje??
Hapana acende kuvuna mabua. Asubil dk ya mwisho frm tcu. Final aproval