Kuna mume wa mtu,nataka nimzalie lakini nahisi mbegu zake zina shida ni kama maji nifanye nini?

Kuna mume wa mtu,nataka nimzalie lakini nahisi mbegu zake zina shida ni kama maji nifanye nini?

Magical power

JF-Expert Member
Joined
Sep 27, 2022
Posts
2,158
Reaction score
5,626
Kaka naomba unisaidie nifanye nini, ni binti wa miaka 30, nimeolewa ndoa yangu ina mwaka sasa. Kuna mwanaume mwingine niko naye, ni mume wa mtu ila ndiyo mwanaume wangu na nampenda sana hakuna namna naweza kumuacha, nilikua naye kabla ya ndoa na niliolewa tu kwakua nyumbani walikua wananipigia sana kelele za ndoa.

Nataka kumzalia huyu mume wa mtu lakini nahisi kama ana matatizo kwani mbegu zake ni nyepesi sana. Kwa mwaka mzima nimejaribu kubeba mimba yake nikiamini nikibeba naweza kumsingizia mume wangu lakini awe ameniachia damu yangu lakini imeshindikana.

Yeye katika ndoa yake ana watoto na hakuna haja ya DNA kwani ni kopi yake, sasa nawaza kwanini kwangu inakua ngumu sana kubeba mimba, kwanini mbegu zake zimekua kama maji, nimegoogle sana nahisi ana tatizo ila sijui namna ya kumsiadia, ana miaka 57 ila ukimuona ni kama ana miama 45, anajijali na anajua kupendeza.

Mume wangu anataka mtoto, anahisi labda nina matatizo ila siajakua kuzaa naye tu, ni mwanaume ambaye nilijisemea nitampenda taratibu ila imeshindikana, siwezi kumzalia mume wangu kwani tukija kuchana itanisumbua kumlea mtoto wake, ninachotaka kwakua kujua ni je, huyu mwanaume kuna dawa anaweza kutibika mbegu zake zikarudi kawaida!
 
Kuna watu wapo kwenye ndoa ila wanafanya ndoa zionekane ni kituko japo stori yako ni chai ndugu yangu😊
20250105_133920.jpg
 

Watu kama huyo ndo sababu ya nyuzi kama hizi
 
Mtakaopita hapa link hiyo nimewawekea tukisema kuoa mwanamke asiyekuwa bikra ni laana wapo watu hawaelewi,kuoa mwanamke mwenye kopo katikati ya mapaja hawezi kuwa mkeo abadani.
 
Kaka naomba unisaidie nifanye nini, ni binti wa miaka 30, nimeolewa ndoa yangu ina mwaka sasa. Kuna mwanaume mwingine niko naye, ni mume wa mtu ila ndiyo mwanaume wangu na nampenda sana hakuna namna naweza kumuacha, nilikua naye kabla ya ndoa na niliolewa tu kwakua nyumbani walikua wananipigia sana kelele za ndoa.

Nataka kumzalia huyu mume wa mtu lakini nahisi kama ana matatizo kwani mbegu zake ni nyepesi sana. Kwa mwaka mzima nimejaribu kubeba mimba yake nikiamini nikibeba naweza kumsingizia mume wangu lakini awe ameniachia damu yangu lakini imeshindikana.

Yeye katika ndoa yake ana watoto na hakuna haja ya DNA kwani ni kopi yake, sasa nawaza kwanini kwangu inakua ngumu sana kubeba mimba, kwanini mbegu zake zimekua kama maji, nimegoogle sana nahisi ana tatizo ila sijui namna ya kumsiadia, ana miaka 57 ila ukimuona ni kama ana miama 45, anajijali na anajua kupendeza.

Mume wangu anataka mtoto, anahisi labda nina matatizo ila siajakua kuzaa naye tu, ni mwanaume ambaye nilijisemea nitampenda taratibu ila imeshindikana, siwezi kumzalia mume wangu kwani tukija kuchana itanisumbua kumlea mtoto wake, ninachotaka kwakua kujua ni je, huyu mwanaume kuna dawa anaweza kutibika mbegu zake zikarudi kawaida!
Mwambie aache ujinga aende akamzalie mumewe wa ndoa. Waume za watu wengi wamewekewa mitego atakuja kufa vibaya
 

Watu kama huyo ndo sababu ya nyuzi kama hizi
Kabisa mkuu ila Bado Kuna jobless visa hivi wanakwambia n chai😂😂
 
Mimba ni ishu ya chemistry. Kama jamaa ana watoto basi shida itakua wew ena yeye hamuendani na vile una miaka 30 ushatoka kwenye prime time yako ya kunasa mimba ya mwanaume yoyote katika hali yoyote.

Binti wa miaka 18 hadi 25 ananasa mimba muda wowote kutoka kwa yoyote ila mwanamke wa muanzia miaka 30 kumpa mimba inahitaji chemistry na sayansi ya juu sana maana kuna mambo ya mood swings, hormones nk.

Huto mume wa mtu mpe tu mama.
 
𝙾𝚗𝚊 𝚑𝚞𝚢𝚞 𝚗𝚊𝚎 𝚍𝚊𝚑, 𝚞𝚣𝚒𝚗𝚣𝚒 𝚝𝚞 ,𝚒𝚟𝚒 𝚞𝚔𝚒𝚏𝚊𝚗𝚢𝚊 𝚑𝚒𝚟𝚢𝚘 𝚞𝚝𝚊𝚏𝚊𝚒𝚍𝚒𝚔𝚊 𝚗𝚒𝚗𝚒?
𝚠𝚊𝚝𝚞 𝚔𝚊𝚖𝚊 𝚑𝚊𝚠𝚊 𝚗𝚒 𝚔𝚞𝚌𝚑𝚊𝚙𝚊 𝚖𝚒𝚔𝚠𝚊𝚓𝚞 𝚑𝚊𝚍𝚑𝚊𝚛𝚊𝚗𝚒
 
Kaka naomba unisaidie nifanye nini, ni binti wa miaka 30, nimeolewa ndoa yangu ina mwaka sasa. Kuna mwanaume mwingine niko naye, ni mume wa mtu ila ndiyo mwanaume wangu na nampenda sana hakuna namna naweza kumuacha, nilikua naye kabla ya ndoa na niliolewa tu kwakua nyumbani walikua wananipigia sana kelele za ndoa.

Nataka kumzalia huyu mume wa mtu lakini nahisi kama ana matatizo kwani mbegu zake ni nyepesi sana. Kwa mwaka mzima nimejaribu kubeba mimba yake nikiamini nikibeba naweza kumsingizia mume wangu lakini awe ameniachia damu yangu lakini imeshindikana.

Yeye katika ndoa yake ana watoto na hakuna haja ya DNA kwani ni kopi yake, sasa nawaza kwanini kwangu inakua ngumu sana kubeba mimba, kwanini mbegu zake zimekua kama maji, nimegoogle sana nahisi ana tatizo ila sijui namna ya kumsiadia, ana miaka 57 ila ukimuona ni kama ana miama 45, anajijali na anajua kupendeza.

Mume wangu anataka mtoto, anahisi labda nina matatizo ila siajakua kuzaa naye tu, ni mwanaume ambaye nilijisemea nitampenda taratibu ila imeshindikana, siwezi kumzalia mume wangu kwani tukija kuchana itanisumbua kumlea mtoto wake, ninachotaka kwakua kujua ni je, huyu mwanaume kuna dawa anaweza kutibika mbegu zake zikarudi kawaida!
Very sad
 
Back
Top Bottom