Princess Tee
Member
- Apr 2, 2012
- 60
- 18
Kama ilivyo ada, maombi ya chuo hufanya kupitia TCU. Umeomba kozi zako vizuri umeomba na mkopo pia loan board.
Mfano umeomba MD(udaktari) let say muhimbili ukapata na mkopo pia ukapata jina lako limetoka kwenye list ya wanafunzi waliokuwa admitted from TCU na waliopata mkopo. Unaenda chuo kwaajili ya admission wanakupa admission letter ya Bachelor science in Nursing, unauliza kulikoni wanakuambia nafasi za MD zimejaa. Utafanyaje?
Kuna mtu alishakumbana na kadhia ya namna hiyo na je ulifanyaje?
Au ukikutana na hali km hiyo utafanyaje maana kuna baadhi ya watu wameenda kureport baadhi ya vyuo wamekutana na hali hiyo huku tetesi zikidai kwamba TCU inapangia wanafunzi idadi kubwa kupita uwezo wa chuo so inabidi wawapangie kozi nyingine zinazoendana kiasi na kozi walizopangiwa na TCU.
Mfano umeomba MD(udaktari) let say muhimbili ukapata na mkopo pia ukapata jina lako limetoka kwenye list ya wanafunzi waliokuwa admitted from TCU na waliopata mkopo. Unaenda chuo kwaajili ya admission wanakupa admission letter ya Bachelor science in Nursing, unauliza kulikoni wanakuambia nafasi za MD zimejaa. Utafanyaje?
Kuna mtu alishakumbana na kadhia ya namna hiyo na je ulifanyaje?
Au ukikutana na hali km hiyo utafanyaje maana kuna baadhi ya watu wameenda kureport baadhi ya vyuo wamekutana na hali hiyo huku tetesi zikidai kwamba TCU inapangia wanafunzi idadi kubwa kupita uwezo wa chuo so inabidi wawapangie kozi nyingine zinazoendana kiasi na kozi walizopangiwa na TCU.