Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamani kuna mtu alowah jipatia mchumba hapa au ndo twaishia kupachka matangazo.
Humu chenga hamna lolote! zaidi utaona wanakujibu "ngoja niku-pm sasa hv" afu hakuna anaku-pm! Uki-pm yeye hajibu tena
yaani we acha tu watu wanapromc kibao afu hawa-pm taabu kweli kweliHahahaaa.... Vipi ndugu, yameshakukuta nini..??
Ngoja waje, kuna watu karibu watagawa kadi humu, kichwaones njoo ujibu hoja.
Mmh kiukweli wengi wanakwaruana kuliko kufikia hatua ile ya uchumba. lakini kuna namna ambvyo tunapaswa kuiweka hii ikawa njia nzuri ajili ya hilo, kule kwa bwana zuma kuna redio flan ina hizi miting za vijana kiukweli ndoa nyingi sana zimetokea pale na wenye nia wanakutanishwa na watu wakati ule tulie nda kula wali. ila hapa sijui kuna pepo gani, wadau tubadilike.
YES, KUNA WALIOPO SERIOUS, me nishakutana na aliyekuwa serious na tukaanza mahusiano but niliofia kumuumiza na kuharibu plan zake coz me sikuwa serious!!
YES, KUNA WALIOPO SERIOUS, me nishakutana na aliyekuwa serious na tukaanza mahusiano but niliofia kumuumiza na kuharibu plan zake coz me sikuwa serious!!