Kwani unazo mbili??? Ulivyo kimodo kama unambili mbona hatari zinaweza kukuangusha aisei.Dusheee au kitumbua
Ninayo mojaaa oteaKwani unazo mbili??? Ulivyo kimodo kama unambili mbona hatari zinaweza kukuangusha aisei.
Hahha.... mura akipenda huwa anakuwa zoba kweli.... so usiogope gentamycine kikutaja mkuuUmeandika mura mapigo ya moyo yameongezeka.
Haa haa cjalipa cz cjapewa code numberEwaaaaa
Hivi umelipa ushuru kweli
Joint expansion kama haihatumika mno/rift valley kama imetumika mno..!Ninayo mojaaa otea
Ndo dawa. Ushauri akampe mwanae hapa wote watu wazima.Ahahahha me huwa sicheleweshi wanakera sana kupangiana maisha humu jf kama amekununulia simu na bundle
Duuh hili povu litakuwa la dawa ya meno, hasa colgateNdo mara ya kwanza yy kupendwaaa au
Mmeshachat huko pm mmeamua kuja kuanzisha uzi huku atafurah kwa sababu mmeshapanga
Sawa ninawaandalia keki mkishatajana mlishane mambo yaishe
Sasa na nyie ndo wake zetuWanakua wanasoma wee akianza mmoja unaona wote wanakuja na mibarua mireeefu ya ushauri.
Ha ha ha ha bas usjal jiandae na bonge la uziEwaaaaa
We ukinitaja walau nakuonaga!! Aki huyo simjuii
Akinitaja mimi halafu nimkute ana mapenzi ya kimura wallah nitampenda mpaka aseme nilikua wapi. Mie na muraz damu damu yani.Hahha.... mura akipenda huwa anakuwa zoba kweli.... so usiogope gentamycine kikutaja mkuu
Watatu utashindwa kutuhudumia.Ha ha ha ha ha hii ni kama tatu mzuka tu wawil tayar wewe na shunie bado mmoja tu ambae bado tunaangalia nae akae kwenye list
Hahhaa... angalia usije ukawa na nyota ya makovu mkuuAkinitaja mimi halafu nimkute ana mapenzi ya kimura wallah nitampenda mpaka aseme nilikua wapi. Mie na muraz damu damu yani.
Huduma za msing wote mtapata katika mwez kila mtu ana siku kumi zinamtosha sanaWatatu utashindwa kutuhudumia.
Sasa wengine wanakera. Mtu bora aje akushauri inbox ila anajitia humu ye ndo ana haki ya kuandika kuhusu kitu fulani wengine hawatakiwi.Sasa na nyie ndo wake zetu
Itabd tuwashaur tu
Na kweli akampe aliyemzaaNdo dawa. Ushauri akampe mwanae hapa wote watu wazima.
Embu ngoja niitishe lunchYaan hata hatujui wana saloon au vipi ila wanasuta
Haa haa haaa maybe anaandikaSasa wengine wanakera. Mtu bora aje akushauri inbox ila anajitia humu ye ndo ana haki ya kuandika kuhusu kitu fulani wengine hawatakiwi.
Saint Ivuga hanaga shidaEmbu ngoja niitishe lunch
Niwasubir nijue monita wao n
Nan Ila kama co saint ivuga cjui
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Bora umewaambiaHuduma za msing wote mtapata katika mwez kila mtu ana siku kumi zinamtosha sana