Friedrich Nietzsche
JF-Expert Member
- Sep 22, 2022
- 2,095
- 3,649
Wakuu nina swali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
multi media video ndo zipiUnaongelea blog na website TZ? Watu hawaconsume content kwa mfumo huo sikuhizi. Mara ya mwisho umemuona mbongo anafungua blog kwenye daladala lini? Wabongo hatusomi
Hamia kwenye multimedia (video)
aisee kweliMbona ndogo sana 🤣🤣
kaka huu ushuhuda umenifungua macho aisee1 tu, wapo wanaopiga dola elf 2 (shilingi milioni 5) na wachache wanaofumua mpaka dola elf 8+ , ni hapa hapa bongo, kimya kimya style
2020 rafiki yangu anafanyia kazi benki aliwahi kuniambia hizi ishu ila nilimbishia, kuna dogo nilimuunganisha field hio benki ila jiji lingine na yeye akaniambia hii ishu ikabidi nilipe uzito, ilibidi nishuhudie mwenyewe, niliambiwa niende tarehe 22 na 23 ndio tarehe zao za malipo kutoka google, aisee !! kuna vijana wadogo wanapaki ndinga zao wanaingia kutoa dola 500 hadi elf 2 western union nawashuhudia laivu, wale wanaopiga dola zaidi hawatolei dirishani wanaingiziwa moja kwa moja kwenye account zao,
nilijaribu kuchimba chimba nikaja gundua wana blogs za xxx, ni hawa mnaowaona wanashare link za blog zao kwenye magroup ya fb, ukiminya unawaingizia dola.
Wale wenye blogs nyingine halali ni ngumu sana kufikia huko, wanaovuta milioni ni wa kuhesabu, wanacheza kwenye laki 3 hadi 7
yaan we jamaa huwa nacheka
Kwaiyo izo blog Tz wanawezaje kutoshikwa maana sheria ya bongo ni hatari1 tu, wapo wanaopiga dola elf 2 (shilingi milioni 5) na wachache wanaofumua mpaka dola elf 8+ , ni hapa hapa bongo, kimya kimya style
2020 rafiki yangu anafanyia kazi benki aliwahi kuniambia hizi ishu ila nilimbishia, kuna dogo nilimuunganisha field hio benki ila jiji lingine na yeye akaniambia hii ishu ikabidi nilipe uzito, ilibidi nishuhudie mwenyewe, niliambiwa niende tarehe 22 na 23 ndio tarehe zao za malipo kutoka google, aisee !! kuna vijana wadogo wanapaki ndinga zao wanaingia kutoa dola 500 hadi elf 2 western union nawashuhudia laivu, wale wanaopiga dola zaidi hawatolei dirishani wanaingiziwa moja kwa moja kwenye account zao,
nilijaribu kuchimba chimba nikaja gundua wana blogs za xxx, ni hawa mnaowaona wanashare link za blog zao kwenye magroup ya fb, ukiminya unawaingizia dola.
Wale wenye blogs nyingine halali ni ngumu sana kufikia huko, wanaovuta milioni ni wa kuhesabu, wanacheza kwenye laki 3 hadi 7
Naomba nikae naww vizuriMilion moja, hizo si dola 400 tu? Hela ya siku mbili au tatu hiyo kijana, kaa na watu vizuri [emoji1]
yani hao jamaa wanafanya mambo yao kisiri siriKwaiyo izo blog Tz wanawezaje kutoshikwa maana sheria ya bongo ni hatari
aisee hatari sanayani hao jamaa wanafanya mambo yao kisiri siri